iqna

IQNA

Rais Xi Jinping
Waislamu China
TEHRAN (IQNA)- Rais Xi Jinping wa China amewataka viongozi kuongeza juhudi kuhakikisha kwamba Uislamu nchini China unaendana na kaununi za dini nchini humo na sera za kisoshalisti zinazofuatiliwa na Chama tawala cha Kikomunisti cha China.
Habari ID: 3475512    Tarehe ya kuchapishwa : 2022/07/17